Burudani
Harmonize haoni pesa ya muziki

STAA wa muziki nchini, Rajab Abdul, ‘Harmonize’ alia na unyonyaji ambao unafanywa na baadhi ya kampuni za uuzaji wa muziki.
Hamonize amesema kuwa hajapata bahati ya kuingiza hata dola 1 haliyakuwa unafanya vizuri.
‘’Sijaingiza hata dola 1 kupitia wimbo wake ‘Single Again ‘