Ligi Kuu
2 days ago
Mwalimu aawapa zawadi marafiki zake
Filamu
2 days ago
MOROGORO: MSHAMBULIAJI wa Simba, Seleman Mwalimu, amesema bao alilofunga katika mchezo dhidi…
MGANGA wa jadi kutoka Ghana, Nana Kwaku Bonsam, amedai kuwa alitumia nguvu…
ZANZIBAR: KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema uchovu uliowakumba wachezaji…
ZANZIBAR:MWMBAJI maarufu kutoka jamii ya Wahadzabe, Chaba, ameeleza masikitiko yake kuhusu baadhi…
VALLETA: KIUNGO wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles M’Mombwa…
DAR ES SALAAM: MSANII wa filamu nchini, Isarito Mwakalindile, amewakaribisha wageni kutoka…
MGANGA wa jadi kutoka Ghana, Nana Kwaku Bonsam, amedai kuwa alitumia nguvu za kiroho kumzuia mshambuliaji wa England, Harry Kane,…
Read More »
MEXICO CITY:SAFARI ya kipekee ya Guillermo Ochoa katika soka la kimataifa imekaribia kufikia mwisho baada ya golikipa huyo kuonekana kwa…
Read More »
TIMU ya taifa ya Mexico imeonesha kuwa ni moja ya timu zinazopaswa kuogopwa katika Kombe la Dunia 2026 baada ya…
Read More »
FIFA imemfungia mechi tano kiungo wa timu ya taifa ya Qatar, Assim Madibo, kufuatia tukio lililosababisha majeraha makubwa kwa kiungo…
Read More »
DAR ES SALAAM: MSANII wa filamu za Bongo Movie, Isarito Mwakalindile, amewataka wasanii nchini kuendelea kutumia lugha ya Kiswahili katika kazi zao za sanaa ili kuitangaza lugha hiyo pamoja na…
DAR ES SALAAM:MZEE Yusuph Mwinyi amesema kuwa matumizi ya maneno mabaya dhidi ya wengine ni uvunjifu wa amani unaoweza kusababisha hofu na wasiwasi katika jamii. Akizungumza na SpotiLeo, Mzee Yusuph…
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Raga Tanzania (TRU), kupitia Idara ya Raga ya Wanawake, kinatarajia kuanza kliniki ya Raga ya Wanawake ya siku mbili yenye lengo la kukuza uwezo wa…
ZANZIBAR:WASHIRIKI kutoka kabila la Wahadzabe wamekuwa kivutio kikubwa katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF 2026), baada ya kuonesha utamaduni wao wa kipekee uliovutia mamia ya wageni waliohudhuria…
MOROGORO: MSHAMBULIAJI wa Simba, Seleman Mwalimu, amesema bao alilofunga katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar jana amelitoa kama zawadi maalumu kwa rafiki zake wa karibu Wilson Nangu pamoja na Montero…
ZANZIBAR:SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imepongeza mwendelezo wa matamasha makubwa ya sanaa yanayofanyika visiwani humo, ikieleza kuwa yamekuwa chachu ya ukuaji wa sekta ya utalii kwa kuvutia maelfu ya wageni…