ZOTE: HIVI KARIBUNI

  • Burudani

    David Rajabu kuja kivingine

    MWANAMUZIKI muziki wa injili, David Rajabu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘upendo’ mwishoni mwa wiki hii, ukiwa na lengo la kuhamasisha upendo na mshikamano katika nchi za Afrika Mashariki.…

  • Nyumbani

    Guardiola kuachana na Manchester City mwishoni mwa msimu

    LONDON: KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ametangaza kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya miaka 10 iliyogubikwa na mafanikio makubwa katika soka la England. Guardiola mwenye…

  • AFCON

    Wavu kutumika kutangaza AFCON 2027

    DAR ES SALAAM: OFISA Michezo Mwandamizi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Charles Maguzu, amewahamasisha Watanzania kutumia Mashindano ya Mpira wa Wavu Ufukweni Afrika Kanda ya Tano kama jukwaa…

  • Nyumbani

    T9 yaonesha fursa za Afcon 2027

    DAR ES SALAAM: WAKATI Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027, kampuni ya T9 imeibuka na mkakati wa kuhamasisha Watanzania kuzitumia fursa za kiuchumi zitakazoambatana na mashindano hayo…

  • Ligi Kuu

    Okello mchezaji bora Aprili

    DAR ES SALAAM: KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuonesha kiwango bora katika michezo ya mwezi…

  • Ligi Kuu

    Simba, Mashujaa watambiana

    KIGOMA: KOCHA Mkuu wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelu amesema hana hofu na Simba kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kesho, akisisitiza timu yake ipo tayari kupambana kutafuta ushindi.…

Back to top button