ZOTE: HIVI KARIBUNI

  • Mastaa

    Zari awaombea waislamu

    DAR ES SALAAM: MSANII na Mfanyabiashara, Zari Hassan ‘Zari The Boss Lady’, amefanya dua maalumu waumini wa dini ya kiislamu katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kupitia ukurasa wake…

  • Muziki

    Mbosso awaandaa mashabiki wake

    DAR ES SALAAM: MSANII wa muziki wa Bongo Fleva Mbwana Kilungi ‘Mbosso’, ameweka wazi kwa mashabiki wake kuwa kwa sasa wanapaswa kutarajia kazi bora zaidi kutoka kwake kila wanaposikia jina…

  • Mastaa

    Mobetto amwagia sifa Aziz Ki

    DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO, Hamisa Mobetto, amemwagia sifa mume wake Stephane Aziz Ki, alipokuwa akimtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mobetto ameandika ujumbe mrefu…

  • Ligi Kuu

    Mwalimu afungiwa michezo mitatu

    DAR ES SALAAM : MCHEZAJI wa Simba, Seleman Mwalimu amefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kumpiga kiwiko kwa makusudi mchezaji wa…

  • Ligi Kuu

    Waamuzi Dabi ya Kariakoo vilio

    DAR ES SALAAM: MWAMUZI Msaidizi namba moja (1) wa mchezo dabi ya Simba na Yanga, Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, amefungiwa miezi sita (6) kwa kosa la kushindwa kutafsiri…

  • Ligi Kuu

    Simba, Yanga zatozwa faini

    DAR ES SALAAM: KLABU ya Simba imetozwa faini ya jumla Sh milioni 20 na Yanga Sh milioni tano kutokana na makosa tofauti katika mechi mbili tofauti ikiongozwa na Dabi iliyochezwa…

Back to top button