HABARI MPYA
- All
- AFCON
- Africa
- Afrika Magharibi
- Afrika Mashariki
- Afrika Ya Kaskazini
- Afrika Ya Kati
- Bundesliga
- Burudani
- CHAN
- EPL
- Europa
- FA
- Featured
- Filamu
- Golf
- Habari Mpya
- Kikapu
- Kusini Mwa Afrika
- Kwingineko
- La Liga
- Ligi Kuu
- Ligi Kuu Zanzibar
- Ligi Ya Wanawake
- Mahusiano
- Mapinduzi Cup
- Mastaa
- Masumbwi
- Mavazi
- Michezo Mingine
- Mitindo
- Muziki
- Nyavu
- Nyumbani
- Pete
- Picha
- Riadha
- Serie A
- Soka La Ufukweni
- Tennis
- Tetesi
- U20
- Wasifu
- World Cup
Zaidi
Enzo kufanyiwa upasuaji
BREAKING: KIUNGO wa Chelsea, Enzo Fernandez atakosa mechi zote zilizobakia za Ligi Kuu England, ambapo anatarajia kufanyiwa upasuaji wa hernia.
Muargentina huyo alitakiwa kufanyiwa upasuaji...
Azam FC mnawaelewa lakini?
DAR ES SALAAM; Azam FC ni kama wanacheza michezo yao ya Ligi Kuu kwa hesabu kali huku wakiendelea kupunguza mwanya wa alama baina yao...
WORD CUP 2022 - Qatar
Rais uefa awatolea uvivu Saudi Arabia.
RAIS wa shirikisho la soka barani Ulaya Aleksander Ceferin ametema nyongo kwa taifa la Saudi...
Matokeo yawakera wachezaji Simba
NAHODHA wa Simba John Bocco, amesema kuwa wachezaji wa timu hiyo wameumizwa pia na...
Kocha Simba ataka mashine mpya 5
KOCHA wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, amesema ili timu hiyo irudi kwenye ushindani wa kuwania...
LIGI KUU BARA
Azam FC mnawaelewa lakini?
DAR ES SALAAM; Azam FC ni kama wanacheza michezo yao ya Ligi Kuu kwa hesabu...
Aziz Ki atwaa uchezaji bora Machi
Kiungo wa Yanga SC, Stephen Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Machi.
Ki...
Mudathir Yahya akabidhiwa Mamelod
UONGOZI wa Yanga SC na benchi la ufundi, umeamua kumkabidhi kiungo wao Mudathir Yahya, mechi...
MICHEZO MINGINE
Majaliwa mgeni rasmi TASWA bonanza
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika bonanza maalumu la waandishi na wafanyakazi wa vyombo vya habari 'TASWA Media Day Bonanza 2024'...
TAMASHA LA MICHEZO LA KARATU: Ni zaidi ya kuibua vipaji kwa vijana
TAMASHA la 22 la Michezo la Karatu (KSF) limefanyika wiki iliyopita huku likiwa ni zaidi ya
kuibua na kuendeleza vipaji vya wachezaji chipukizi wa michezo...
Simba vs Yanga Ngao ya jamii wanawake leo
NUSU fainali za michezo ya Ngao ya Jamii ikiwa ni ufunguzi wa Ligi Kuu ya mpira wa wanawake Tanzania Bara zinapigwa leo, Dar es...
BURUDANI
TUZO ZA FILAMU 2023: Sasa tunajitambua, ubora umeongezeka
UTOAJI wa Tuzo za Filamu za Tanzania (TaFFA), hufanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2021 zilipoanzishwa kusherehekea mafanikio ya tasnia ya filamu nchini Tanzania.
Tuzo hizo...
Mwimbaji wa ‘Loliwe’ afariki dunia
MTUNZI na mwimbaji wa muziki Afro-pop wa Afrika Kusini, Bulelwa Mkutukana, maarufu Zahara amefariki dunia.
Waziri wa Michezo, Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini, Zizi...
MAKALA YA KARIBUNI
Enzo kufanyiwa upasuaji
BREAKING: KIUNGO wa Chelsea, Enzo Fernandez atakosa mechi zote zilizobakia za Ligi Kuu England, ambapo anatarajia kufanyiwa upasuaji wa hernia.
Muargentina huyo alitakiwa kufanyiwa upasuaji mwezi wiki kadhaa zilizopita ilishindikana kutokana na mchango wake kwenye timu hiyo licha ya maumivu...
Azam FC mnawaelewa lakini?
DAR ES SALAAM; Azam FC ni kama wanacheza michezo yao ya Ligi Kuu kwa hesabu kali huku wakiendelea kupunguza mwanya wa alama baina yao na vinara Yanga.
Mpaka sasa matajiri hao wa kusini mwa Dar es Salaam wameshuka dimbani mara...
Mashabiki Yanga kupata simu za mkopo
KLABU ya Yanga SC imeingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Silver General Investment ambapo mashabiki wa timu hiyo watakopeshwa simu na kulipa kwa awamu.
"Mwanachama na shabiki wa Young Africans ambaye anahitaji kukopeshwa simu anapaswa kutoa kiasi cha...
Azam kushiriki Kombe la Muungano
KLABU ya Azam FC imethibitisha kuwa sehemu ya timu zitakazoshiriki Kombe la Muungano.
Kombe la Muungano litaanza Aprili 23 hadi 27, 2024 visiwani Zanzibar.
“Tunathibitisha tutakuwa sehemu ya timu zitakazoshiriki michuano ya Kombe la Muungano, itakayoanza kutimua vumbi kuanzia Aprili 23...
Pochettino atoa onyo la mwisho
MKUFUNZI wa Chelsea, Mauricio Pochettino amekasirishwa na mzozo wa nani angepiga penalti katika ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Everton na amewaonya wachezaji wake kutorudia tena.
Nicolas Jackson na Noni Madueke walibishana kuhusu nani angepiga mkwaju wa penalti, kabla ya...
Mazembe yakanusha kifo cha Kalaba
KLABU ya TP Mazembe imekanusha taarifa za kifo cha aliyekuwa mchezaji wao Rainford Kalaba.
Awali taarifa ya klabu hiyo ilisema mchezaji huyo amefariki katika ajali nchini Zambia.
Taarifa ya pili ya TP Mazeme inasema Kalaba yupo kwenye chumba cha wagonjwa mahututi...
Kalaba wa TP Mazembe afariki dunia
Ajali yakataisha uhai wa Kalaba wa TP MazembeNYOTA wa zamani wa Zambia na TP Mazembe, Rainford Kalaba amefariki dunia leo katika ajali ya gari nchini Zambia.
Kalaba, aliyezaliwa Agosti 14, 1986 amefariki akiwa na umri wa miaka 37, alilazwa hospitalini...
Inonga kulikoni? Mbona ameaga
BEKI wa Simba SC, Henock Inonga ameacha maswali kwa baadhi ya mashabiki wa timu hiyo baada ya kuweka alama za ‘emoji’kwenye’ instagram story’ yake zinazoashiri mtu anayetoa machozi na kuaga.
Alama hizo hazijaambatana na maneno yoyote kama mshambuliaji huyo anaondoka...
Chelsea yaongoza ada za mawakala
CHELSEA ililipa zaidi ya £75m kwa mawakala wa soka na wasuluhishi katika kipindi cha miezi 12 hadi Februari 2024, huku vilabu vya ‘Premier League’ vikitumia pauni milioni 409.5 kwa jumla.
Gharama ya Manchester City kwenye ada za wakala ilizidi £60m,...
Guardiola kumpumzisha Rodri
MENEJA wa Manchester City, Pep Guardiola anasema yuko tayari kumpumzisha Rodri baada ya kiungo huyo kusema anahitaji mapumziko.
Rodri, 27, amecheza mechi 41 msimu huu na alidokeza baada ya sare ya Jumanne ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid...