Ligi Kuu
1 day ago
Simba, Fountain Gate vitani leo
Kwingineko
1 day ago
Raphina awalalamikia waamuzi
Filamu
2 days ago
DAR ES SALAAM: KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola, amesema kikosi cha…
STOCKHOLM: Mshambuliaji wa Newcastle United Alexander Isak ametajwa kwenye kikosi cha timu…
DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeweka wazi kuwa mshambuliaji wake Clement…
DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu kwa Watu Wenye Ulemavu…
DAR ES SALAAM:KIUNGO wa kimataifa kutoka Nigeria, Precious Christopher, amesema kurejea kwake…
DAR ES SALAAM: MASHINDANO ya soka kati ya Kenya na Tanzania yanatarajiwa…
LONDON: KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema kiungo wake Mikel Merino amejitengenezea haki ya kuangaliwa kama mshambuliaji hata pale wachezaji…
Read More »
MANCHESTER: KLABU ya Aston Villa inaonekana kama timu yenye moto zaidi kwa timu za Daraja la kati katika Ligi Kuu…
Read More »
LIVERPOOL: Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema kikosi chake kiko katika hali mbaya na kinalazimika kupambana kurejea kwenye ‘Top Four’…
Read More »
ISTANBUL: WAENDESHA mashtaka jijini Istanbul wametoa hati za kukamatwa kwa makumi ya wachezaji na maofisa wa soka kufuatia kashfa ya…
Read More »
DAR ES SALAAM: KOCHA mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema kikosi chake kiko imara na tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City, huku akisisitiza kuwa…
DAR ES SALAAM: WAKATI presha ikizidi kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga utakaopigwa kesho kwenye Uwanja wa KMC, mabosi na wachezaji wa Mbeya City wameweka wazi dhamira yao ya kusaka…
MADRID, Hispania: KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, ameisifu timu yake kwa kuonesha moyo wa kupambana na kufanikiwa kulinda matokeo muhimu yaliyoipeleka klabu hiyo hatua ya nusu fainali ya Ligi…
ARUSHA. TIMU ya Simba SC leo inatarajiwa kushuka dimbani kuvaana na Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Simba inaingia…
MBUNIFU wa mavazi kutoka AMFashion, Agusta Masaki, amesema amani iliyopo nchini Tanzania ni nguzo muhimu inayowezesha wabunifu na wafanyabiashara kufanya kazi zao kwa utulivu na ubunifu mkubwa. Akizungumza na SpotiLEO…
MADRID, Hispania: WINGA wa Barcelona, Raphael Dias ‘Raphinha’, amewashambulia waamuzi kufuatia timu yake kuondolewa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Atletico Madrid. Barcelona ilitolewa kwa jumla ya mabao…