Mastaa

Madonna aifurahia Chelsea akiwa na ‘Serengeti boy wake’

LONDON: MWANAMUZIKI Maddona mwenye miaka 66, ameonekana kujawa na furaha akiwa katika mapunziko huko Londoni akiwa na mpenzi wake mwenye miaka 28 Akeem Morris ambaye ni mtangazaji.

Madonna alionekana akimbembeleza Akeem wakiwa wameketi kwenye viwanja vya Stamford Bridge wakati wa mechi ya Chelsea F.C. mchezo wa soka na Akeem picha za safari yake kwenye kidimbwi. Katika mojawapo ya picha hizo, Malkia wa Pop anaonekana.

Picha kadhaa zinaonyesha wawili hao wakitembea kuzunguka Klabu ya Soka ya Chelsea huko London Magharibi.

Maddona amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Akeem tangu mwanzo wa Majira ya joto. Madonna alianzisha uhusiano wake kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii alipoweka picha zao za kimapenzi tangu julai 4, 2024.

Related Articles

Back to top button