EPLKwinginekoLa Liga

Kivumbi Spurs vs Man United leo

BAADA ya Manchester City kuiangamiza Arsenal kwa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu England(EPL), ligi hiyo inaendelea leo kwa michezo kadhaa.

Pamoja na EPL mechi za Ligi Kuu Hispania, nusu fainali ya pili ya Kombe la Italia na mechi ya marudiano ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa wanawake zinafanyika leo.

Mechi hizo ni kama ifuatavyo:

PREMIER LEAGUE
Everton vs Newcastle
Southamton vs AFC Bournemouth
Tottenham Hotspur vs Manchester United

LALIGA
Valencia vs Real Valladolid
Villarreal vs Espanyol
Athletic Bilbao vs Sevilla

NUSU FAINALI KOMBE LA ITALIA
Fiorentina vs Cremonese

NUSU FAINALI LIGI MABINGWA ULAYA WANAWAKE
Barcelona vs Chelsea

Related Articles

Back to top button