AfricaAfrika Mashariki

Uganda bingwa CECAFA U18

TIMU ya taifa ya Uganda ya vijana chini ya miaka 18 imetwaa ubingwa wa michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati(CECAFA) baada ya kuifunga Kenya kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali.

Wenyeji Kenya ndio ilikuwa ya kwanza kupata bao katika mchezo huo uliofanyika uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Kisumu.

FULLTIME

UGANDA U18    🇺🇬 1-2 KENYA  U18 🇰🇪
Syphas Owuor⚽️65′     Batiibwe ⚽️77′
Mutebi⚽️ 91

Tanzania imeshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga Rwanda kwa mabao 3-1.

Related Articles

Back to top button