Muziki
Luizer Mbutu: Twanga Pepeta imeajiri zaidi ya familia 40

DAR ES SALAAM: MSANII wa muziki wa dansi nchini, Luizer Nyoni Mbutu, amempongeza na kumshukuru Asha Baraka kwa mchango wake katika kuendeleza muziki wa dansi, akisema kupitia Bendi ya Twanga Pepeta ameweza kutoa ajira kwa zaidi ya familia 40.




