Ligi Ya WanawakeNyumbani

Kivumbi fainali Ngao ya Jamii wanawake

JKT Queens na Simba Queens zinashuka dimbani Dar es Salaam leo katika fainali ya Ngao ya Jamii wanawake 2023.

Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa Azam Complex ulipo Chamazi.

Kabla ya fainali kutafanyika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu na nne kati ya Yanga Princess na Fountain Gate Princess.

Related Articles

Back to top button