AFCONAfrica

Tanzania mtihani AFCON U23 leo

TIMU ya taifa ya wanaume chini ya miaka 23 leo inaikabili Nigeria katika mchezo wa marudiano kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON) mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Liberty uliopo Ibadan, Nigeria.

Katika mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1.

Tanzania inahitaji ushindi wa bao 1-0 au sare ya zaidi ya mabao 2-2 kwenye mchezo huo utakaofanyika saa 12 jioni ili kufuzu.

Mechi nyingine za michuano hiyo leo ni kama ifuatavyo:

Zambia          vs         Sierra Leone
Gabon            vs         Magadascar
Algeria           vs         DR Congo
Ivory Coast     vs        Niger
Mali                vs        Rwanda
Senegal          vs        Burkina Faso

Related Articles

Back to top button