FANyumbani

Raundi ya pili ASFC kuanza leo

RAUNDI ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam(ASFC)-FA 2022/2023 inaanza leo kwa mchezo mmoja kufanyika Dar es Salaam.

Silent Ocean ni mwenyeji wa COPCO katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Uhuru.

Michezo mingine 7 itapigwa Desemba 9 kwenye viwanja tofauti.

Related Articles

Back to top button