Africa
16 hours ago
Adolf Bitegeko atua Kaizer Chiefs
Ligi Kuu
22 hours ago
Yanga yaongeza nguvu benchi la Ufundi
Ligi Kuu
23 hours ago
ENGLAND: Premier League 18:00 Bournemouth – Nottingham 18:00 Brighton – Everton 18:00 Liverpool – Ipswich 18:00 Southampton – Newcastle 18:00…
Read More »
VALADOLLID: MENEJA wa mabingwa wa kihistoria wa ligi ya mabingwa barani Ulaya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema wanajua namna ya kushinda…
Read More »
MANCHESTER: WINGA wa kushoto Jeremy Doku na beki wa kati wa Manchester City Ruben Diaz hawatakuwa sehemu ya mchezo wa kesho…
Read More »
DAR ES SALAAM: UONGOZI wa klabu ya Simba umeandika barau na kuipeleka kwa Kamishna Jenerali Uhamiaji kuwaombea uraia wa Tanzania…
Read More »
MWANZA: WASANII wakongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura maarufu Lady Jaydee, H Baba na Prezzo ni miongoni mwa mastaa watakaotumbuiza katika tamasha la maadhimisho ya miaka 30 ya…
DAR ES SALAAM: Baba mzazi wa msanii wa muziki wa Singeli, Meja Kunta, anatarajiwa kuzikwa leo, Julai 22, 2026, katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam kuanzia saa 10…
DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali itaendelea kuunga mkono watengeneza maudhui bora ya mtandaoni…
JOHANNESBURG: Klabu ya Kaizer Chiefs imetangaza kumnasa kiungo wa kati, Adolf Mtasingwa Bitegeko kutoka Azam FC. Kaizer maarufu Glamour Boys imemtangaza mchezaji huyo leo Jumanne baada ya kufanikiwa kumalizana na…
DAR ES SALAAM: YANGA imewatambulisha wataalamu watatu kutoka Afrika Kusini, Simo Dladla, Kagisho Dikgacoi na Yardaan Valodia, watakaofanya kazi chini ya Kocha Mkuu Manqoba Mngqithi. Dladla ametambulishwa kuwa Kocha Msaidizi…
DAR ES SALAAM: WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamemtambulisha mchezaji mwingine katika nafasi ya kiungo mshambuliaji Bakari Msimu kwa mkataba unaotajwa wa miaka miwili. Simba ilimtambulisha Msimu, aliyekulia katika akademi ya…