Africa

Twiga Stars kazini WAFCON

TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars) leo inashuka dimbani katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake(WAFCON 2024) .

Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Mchezo wa marudiano utafanyika Togo Desemba 5, 2023.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button