Nyumbani

Ligi U17 kuanza Machi

LIGI ya mpira wa miguu ya U17 inatarajiwa kuanza mwezi ujao.

Taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesema: “Klabu za Ligi Kuu ya NBC na Klabu za Championship zinatakiwa kuthibitisha ushiriki ligi ya U17 2024.”

Mwisho kwa timu kuthibitisha kushiriki ni Februari 9, 2024.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button