NyumbaniU20

Kivumbi Ligi Kuu U20 leo

MICHUANO ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa vijana chini ya miaka 20 inaendelea leo kwa michezo mitano kundi kundi A na B.

Michezo hiyo inafanyika Dar es Salaam, Mbeya, Kigoma, Kagera na Dodoma.

Mechi hizo ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
TANZANIA PRISONS vs IHEFU
Uwanja wa Sokoine, Mbeya
SIMBA VS KMC
Kituo cha Ufundi, Kigamboni

KUNDI B
MASHUJAA vs TABORA UNITED
Uwanja wa Lake Tanganyika
KAGERA SUGAR VS GEITA GOLD
Uwanja wa Kaitaba
DODOMA JIJI VS MTIBWA SUGAR
Uwanja wa Jamhuri

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button