Ligi KuuNyumbani

Tanzania Prisons, Simba mechi ya kibabe

LIGI Kuu ya soka Tanzania Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja mkoani Mbeya.

Baada ya kuvutwa mkia katika mchezo uliopita dhidi ya KMC kwa sare ya mabao 2-2, Simba ni mgeni wa Prisons kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu kati ya Tanzania Prisons na Simba Juni 26, 2022 Prisons ilishinda bao 1-0.

Related Articles

Back to top button