Nyumbani

Kabelege rasmi ni mwanakinondoni

WAKATI msimu mpya wa mashindano tayari umeanza na dirisha la uhamaisho na usijaili likikaribia kufungwa, klabu ya KMC imetangaza kumsajili Emmanuel Kebelege.

“π—žπ—”π—₯π—œπ—•π—¨ @officiall_emma_raymond. Rasmi mlinzi π—˜π— π— π—”π—‘π—¨π—˜π—Ÿ π—₯𝗔𝗬𝗠𝗒𝗑𝗗 π—žπ—”π—•π—˜π—Ÿπ—˜π—šπ—˜ ni mwanakinondoni akitokea Azam Fc akisaini kandarasi ya mwaka mmoja,” imesema KMC.

Dirisha kubwa la uhamisho na usajili wa wachezaji litafungwa Agosti 31, 2023.

Related Articles

Back to top button