Nyumbani

Kabelege rasmi ni mwanakinondoni

WAKATI msimu mpya wa mashindano tayari umeanza na dirisha la uhamaisho na usijaili likikaribia kufungwa, klabu ya KMC imetangaza kumsajili Emmanuel Kebelege.

“π—žπ—”π—₯π—œπ—•π—¨ @officiall_emma_raymond. Rasmi mlinzi π—˜π— π— π—”π—‘π—¨π—˜π—Ÿ π—₯𝗔𝗬𝗠𝗒𝗑𝗗 π—žπ—”π—•π—˜π—Ÿπ—˜π—šπ—˜ ni mwanakinondoni akitokea Azam Fc akisaini kandarasi ya mwaka mmoja,” imesema KMC.

Dirisha kubwa la uhamisho na usajili wa wachezaji litafungwa Agosti 31, 2023.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button