Nyumbani
Kabelege rasmi ni mwanakinondoni
WAKATI msimu mpya wa mashindano tayari umeanza na dirisha la uhamaisho na usijaili likikaribia kufungwa, klabu ya KMC imetangaza kumsajili Emmanuel Kebelege.
“πππ₯πππ¨ @officiall_emma_raymond. Rasmi mlinzi ππ π ππ‘π¨ππ π₯ππ¬π π’π‘π ππππππππ ni mwanakinondoni akitokea Azam Fc akisaini kandarasi ya mwaka mmoja,” imesema KMC.
Dirisha kubwa la uhamisho na usajili wa wachezaji litafungwa Agosti 31, 2023.




