Nyumbani

Kabelege rasmi ni mwanakinondoni

WAKATI msimu mpya wa mashindano tayari umeanza na dirisha la uhamaisho na usijaili likikaribia kufungwa, klabu ya KMC imetangaza kumsajili Emmanuel Kebelege.

“𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗨 @officiall_emma_raymond. Rasmi mlinzi 𝗘𝗠𝗠𝗔𝗡𝗨𝗘𝗟 𝗥𝗔𝗬𝗠𝗢𝗡𝗗 𝗞𝗔𝗕𝗘𝗟𝗘𝗚𝗘 ni mwanakinondoni akitokea Azam Fc akisaini kandarasi ya mwaka mmoja,” imesema KMC.

Dirisha kubwa la uhamisho na usajili wa wachezaji litafungwa Agosti 31, 2023.

Related Articles

Back to top button