Africa

Raja vs Simba saa 7 usiku

MCHEZO wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika kundi C kati ya Raja Casablanca ya Morocco na Simba utapigwa saa 7 usiku Aprili 1.

Mechi hiyo itafanyika uwanja wa Mohammed V jijini Casablanca na itakuwa leo saa 4 usiku kwa saa za Morocco.

Katika mchezo wa kwanza uliofanyika Dar es Salaam Simba ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Raja.

Michezo mingine ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo ni kama ifuatavyo:

Kundi C

Horoya vs Vipers

Kundi D

Zamalek vs Al-Merreikh

Related Articles

Back to top button