Bundesliga

Bayern yapata mwanachama mpya wa bodi

Bayern munchen imetangaza kumteua Karl-Heinz Rummenigge kuwa mwanachama mpya wa bodi.

“Ningependa kuishukuru bodi ya usimamizi kwa imani yao na ninatazamia kuiunga mkono Bayern katika siku zijazo.” amesema Rummenigge.

Related Articles

Back to top button