Ligi KuuNyumbani

Azam yawatema Salula, Chilunda

KLABU ya Azam imetangaza kuachana na wachezaji Ahmed Salula na Shaaban Chilunda.

Kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kimaii Azam imesema: “#ThanksYou Ahsanteni sana kwa utumishi wenu uliotukuka ndani klabu yetu.Tunawatakia kila la kheri katika maisha yenu mapya ya soka, popote muendapo. Thank you @ahmed_salula x @chilunda43!🙏.”

Ahmed Salula alisajiliwa Azam Agosti 3, 2021 akitokea KMKM ya Zanzibar.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button