NyumbaniU20

Yanga yaikanda Simba Ligi Kuu U20

KLABU ya Yanga ya vijana umri chini ya miaka 20 imeibuka kidedea baada ya kuibamiza Simba mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu U20.

Mchezo huo umefanyika uwanja wa Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.

Yanga iliyoutawala mchezo huo ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0 hadi mapumziko.

FULLTIME
Simba SC 0️⃣-4️⃣ Young Africans
Willyson Christopher⚽
Sheikhan Khamis ⚽
Ahmed Fredrick⚽
Ramadhani Hemed ⚽

Related Articles

Back to top button