AFCONAfricaKwingineko

Karata muhimu kwa Stars AFCON leo

TIMU ya taifa ya soka(Taifa Stars) inashuka dimbani leo kuikabili Uganda Cranes katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON) 2023 kundi F.

Mchezo huo kwenye uwanja wa Suez Canal uliopo Ismailia, Misri ni miongoni mwa mechi 15 za AFCON zitakazopigwa leo barani Afrika kama ifuatavyo:

Kundi A
Nigeria vs Guinea Bissau

Kundi B
Cape Verde vs Eswatini
Burkina Faso vs Togo

Kundi C
Cameroon vs Namibia

Kundi D
Misri vs Malawi
Guinea vs Ethiopia

Kundi G
Mali vs Gambia

Kundi H
Ivory Coast vs Comoros

Kundi I
DR Congo vs Mauritania

Kundi J
Equatorial Guinea vs Botswana
Tunisia vs Libya

Kundi K
Afrika Kusini vs Liberia

Kundi L
Senegal vs Msumbiji

Mbali na mechi hizo za AFCON pia michezo kadhaa ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Ulaya(Euro 2024) itafanyika kama ifuatavyo:

Kundi B
Ufaransa vs Uholanzi
Gibraltar vs Ugiriki

Kundi E
Jamhuri ya Czech vs Poland
Moldova vs Visiwa vya Faroe

Kundi F
Austria vs Azerbaijan
Sweden vs Belgium

Kundi G
Bulgaria vs Montenegro
Serbia vs Lithuania

Related Articles

Back to top button