Nyumbani

Ligi mabingwa mikoa kuanza leo

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa Tanzania Bara(RCL) 2024 inaanza kutimua vumbi leo.

Michezo minne itapigwa viwanja tofauti katika mikoa ya Njombe, Pwani, Manyara na Mwanza.

Mechi hizo ni kama ifuayavyo:

KUNDI A(NJOMBE)
Hausing FC(Njombe) vs Tutes Hub(Ruvuma)
Uwanja wa Sabasaba

KUNDI B(PWANI)
Kiduli FC(Pwani) vs Black Six(dsm)
Uwanja wa Tamco

KUNDI C(MANYARA)
Reggae Boys(Manyara) vs Arusha City(Arusha)
Uwanja wa Tanzanite Kwaraa

KUNDI D(MWANZA)
Rock Solutions(Mwanza) vs Bweri FC(Mara)
Uwanja wa Nyamagana

Related Articles

Back to top button