Kwingineko

Kivumbi kufuzu EURO 2024

MICHEZO kadhaa ya kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya(EURO 2024) zinapigwa kwenye viwanja tofauti.

Fainali za EURO 2024 zitafanyika Ujerumani kuanzia Ijumaa Juni 14 jijini Munich na fainali kupigwa Jumapili Julai 14 jijini Berlin huku wenyeji Ujemani ikifungua dimba katika mchezo wa kundi A dhidi ya Scotland.

Mechi hizo za kufuzu zinazofanyika leo ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
Poland vs Estonia
Wales vs Finland

KUNDI B
Bosnia and Herzegovina vs Ukraine
Israel vs Iceland

KUNDI C
Georgia vs Luxembourg
Greece vs Kazakhstan

Related Articles

Back to top button