Ligi KuuNyumbani

Ihefu kuzinduka leo?

Ligi kuu ys soka Tanzania Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kufanyika Dar es Salaam.

Ihefu inayoshika mkia nafasi ya 16 katika msimamo wa ligi bila pointi baada ya michezo 3 itakuwa mgeni wa KMC kwenye uwanja wa Uhuru.

KMC inashika nafasi ya 11 ikiwa na pointi 2 baada ya michezo 3 pia.

Related Articles

Back to top button