AFCONAfricaKwingineko

Patashika kufuzu AFCON, EURO leo

BAADA ya timu ya taifa ya soka Tanzania(Taifa Stars) Septemba 8 kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika(AFCON) 2023, michuano hiyo na ile ya Kombe la Mataifa ya Ulaya (EURO 2024) inaendelea leo maeneo mbalimbali.

Mitanange kufuzu AFCON leo ni kama ifuatavyo:

KUNDI B
Burkina Faso vs Eswatini

KUNDI D
Misri vs Ethiopia

KUNDI G
Mali vs Sudan Kusini

Katika michuano ya EURO patashika ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
Georgia vs Hispania
Cyprus vs Scotland

KUNDI D
Croatia vs Latvia
Uturuki vs Armenia

KUNDI J
Bosnia and Herzegovina vs Liechtenstein
Luxembourg vs Iceland
Slovakia vs Ureno

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button