Nyumbani

Simba yamnyuka Ngome FC

SIMBA SC imeshinda mabao 6-0 dhidi ya Ngome FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo Bunju Dar es Salaam.

Wafungaji wa mchezo huo ni Aubin Kramo, Shabani Chilunda, Jean Baleke akiweka magoli mawili na Onana moja.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button