Africa

Horoya mdomoni mwa Simba leo

Wekundu wa msimbazi, leo inashuka dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuikabili Horoya ya Guinea katika mchezo wa marudiano C Ligi ya Mabingwa Afrika.

Kikosi cha Horoya kilichoanza katika mojawapo ya mechi za timu hiyo huko Guinea mwezi uliopita.

Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Conakry, Guinea, Horoya iliifunga Simba goli 1-0.

Mechi hiyo ya kundi C ni mojawapo ya michezo mitano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayopigwa leo mingine ikiwa kama ifuatavyo:

Kundi A
AS Vita Club vs Wydad Casablanca
JS Kabylie vs Petro Atletico

Kundi B
Al Hilal Omdurman vs Mamelodi Sundowns

Kundi C
Vipers vs Raja Casablanca

Related Articles

Back to top button