Ligi KuuNyumbani

Coastal vs Geita kivumbi ligi kuu

LIGI Kuu ya soka Tanzania Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Coastal Union inashika nafasi ya 10 ikiwa na pointi 7 baada ya michezo 6 wakati Geita Gold inashika nafasi ya 12 ikiwa na pointi 6 baada ya michezo 6 pia.

Kwa mara ya mwisho timu hizo zilikutana Juni 29, 2022 katika mchezo wa Ligi Kuu huku matokeo yakiwa sare ya bao 1-1.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button