Nyumbani

Cadena apewa ‘Welcome’ Simba

ALIYEKUWA Kocha wa magolikipa wa klabu ya Azam, Daniel Cadena Ledesma ametambulishwa kuhudumia katika timu ya Simba.

Azam ilimpa ‘Thank You’ Cadena tarehe 14 mwezi uliopita.

Katika taarifa yake Simba imeandika: “Karibu Simba SC Kocha mpya wa Magolikipa, Daniel Cadena Ledesma.”

Wakati huo huo timu ya Azam imeshusha kocha mpya wa viungo.

Kocha mpya wa magolikipa wa Azam, Jean-Laurent Geronimi,

“Tunayo furaha kuwataarifu kuwa tumeingia mkataba wa miaka mitatu na Jean-Laurent Geronimi, atakayekuwa Kocha wetu wa viungo kuanzia msimu ujao 2023/24,” imesema Azam katika taarifa.

Geronimi anachakua nafasi ya Moadh Hiraoui aliyepewa ‘Thank You’ siku moja na Cadena.

 

Related Articles

Back to top button