Ligi Ya Wanawake
7 minutes ago
Yanga Princess yamrejesha Oluwayemisi
Nyumbani
2 weeks ago
MENEJA wa klabu ya Simba, Patrick Rweyemamu amesema mechi mbili ilizocheza nchini Sudan zimekiinarisha kikosi hicho kuelekea michuano ya kimataifa.…
Read More »
KLABU ya Manchester United imekamilisha kumsajili winga wa Brazil, Antony Matheus dos Santos ‘Anthony’ kutoka Ajax ya Uholanzi kwa ada…
Read More »
KATIBU wa JKT Tanzania, Abdul Nyumba amesema kuwa baada ya kuboresha benchi lao la ufundi kwa kumpa mkataba kocha Malale…
Read More »
MTENDAJI Mkuu wa Azam, Abdulikarim Amin ‘Popat’ amesema mchakato wa kutafuta kocha mpya atakayerithi mikoba ya Abdulihimid Moallin umeanza. Akizungumza…
Read More »
DAR ES SALAAM- TIMU ya Yanga Princess imeendelea kuimarisha kikosi chake baada ya kutangaza rasmi kumrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Oluwayemisi Samwel, raia wa Nigeria. Mchezaji huyo anarejea ndani ya…
DAR ES SALAAM: WABUNIFU wa mavazi, wanamitindo na washonaji nchini wamepewa mafunzo ya elimu ya fedha yenye lengo la kuinua biashara zao, kuongeza ajira kwa vijana na kuchangia ukuaji wa…
DAR ES SALAAM: BARAZA la Kiswahili la Taifa (BAKITA) limewataka wadau wote wa Kiswahili wenye nia ya kushiriki katika Kongamano la Pili la Kimataifa la Kiswahili, litakalofanyika jijini Paris, Ufaransa,…
DAR ES SALAAM: KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amekoshwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake akisema wataendelea kupambana kushinda na kulinda heshima ya rangi zake. Kauli yake hiyo…
DAR ES SALAAM:MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Classic, ametoa ujumbe mzito kwa watu wanaojitambulisha kuwa ni marafiki au watu wake wa karibu, akiwataka kupunguza…
DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amewaomba mashabiki wa klabu hiyo kumpokea na kumpa ushirikiano beki wa kushoto Nikson Kibabage, akisisitiza kuwa ni mchezaji mwenye…