Featured

AC Milan vs Chelsea patashika Ligi ya Mabingwa

MICHUANO ya ligi ya mabingwa Ulaya inaendelea leo kwa michezo 8 katika viwanja tofauti.

Mchezo unaoonekana kuwa kivutio ni wa kundi E kati ya AC Milan na Chelsea utakaopigwa dimba la San Siro.

Michezo mingine ya Ligi ya Mabingwa leo ni kama ifuatavyo:

Kundi E
Dinamo Zagreb            vs     FC Salzburg

Kundi F
Celtic                          vs     RB Leipzig
Shakhtar Donesk         vs     Real Madrid

Kundi G
FC Copenhagen           vs     Manchester City
Borussia Dortmund      vs     Sevilla

Kundi H
Maccabi Haifa              vs     Juventus
Paris Saint-Germain     vs     Benfica

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button