World Cup

Vuta ni kuvute kufuzu Kombe la Dunia

MICHUANO ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026 inaendeleo leo ukanda wa Afrika kwa mechi tisa.

Miamba kadhaa ya mpira wa miguu Afrika itashuka dimbani leo na mechi hizo ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
Misri vs Djibouti

Kundi B
Sudan vs Togo

KUNDI C
Nigeria vs Lesotho

KUNDI D
Cape Verde vs Angola

KUNDI E
Morocco vs Eritrea

KUNDI F
Burundi vs Gambia
Gabon vs Kenya

KUNDI G
Botswana vs Msumbiji
Algeria vs Somalia

Kwa upande wa Ulaya ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
Cyprus vs Hispania
Georgia vs Scotland

KUNDI F
Azerbaijan vs Sweden
Estonia vs Austria

KUNDI G
Bulgaria vs Hungary
Montenegro vs Lithuania

KUNDI J
Liechtenstein vs Ureno
Luxembourg vs Bosnia and Herzegovina
Slovakia Iceland

Fainali za Kombe la Dunia 2026 zimeandaliwa kufanyika kwa pamoja Canada, Marekani na Mexico.

 

Related Articles

Back to top button