World Cup

Kufuzu Kombe la Dunia Afrika, Ulaya

BAADA ya Qatar kuikanda Afghanistan mabao 8-1 Novemba 16 katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 ukanda wa Asia, michuano huyo inaendelea leo zikwemo mechi 11 ukanda wa Afrika.

Mechi za ukanda wa Afrika leo ni kama ifuatavyo:

KUNDI A
Burkina Faso vs Guinea Bissau

KUNDI D
Eswatini vs Libya
Cameroon vs Mauritius

KUNDI E
Zambia vs Congo

KUNDI F
Ivory Coast vs Seychelles

KUNDI G
Guinea vs Uganda

KUNDI H
Liberia vs Malawi
Tunisia vs Sao Tome na Principe

KUNDI I
Comoro vs Jamhuri ya Afrika ya Kati
Ghana vs Madagascar
Mali vs Chad

Michezo ya ukanda wa Ulaya ni hii hapa:

KUNDI C
England vs Malta
Italia vs Macedonia Kaskazini

KUNDI E
Moldova vs Albania
Poland vs Jamhuri ya Czech

KUNDI H
Kazakhstan vs San Marino
Finland vs Ireland ya Kaskazini
Denmark vs Slovenia

Related Articles

Back to top button