EPL

Chelsea yamnasa Sanchez

CHELSEA imekamilisha usajili wa golikipa Robert Sanchez kutoka Brighton & Hove Albion kwa dau la pauni milioni 25 pamoja na pauni 5 za nyongeza.

Taarifa ya Fabrizio Romano imeeleza kipa huyo amekubali mkataba wa muda mrefu.

Vipimo vya vitafuata, kipa huyo atachukuwa nafasi ya Mendy, hivyo atachuana na Kepa klabuni hapo.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button